

Underwarter camera iliyokuwa imetegeshwa na watafiti wa mambo ya mimea iotayo ndani na kandokando ya maji (swamps), ilikuwa ikipiga picha za mfululizo kila baada ya daika tano. Picha hizo zilipokuja kufanyiwa utafiti, picha moja ambayo ndio hii unayoiona hapa ilitoka ikiwa ina image ya kitu mfano wa binadamu wa ajabu aliyevalia nguo nyeupe. Picha hiyo iliwashangaza sana waliyoiona na wameiweka kwenye frame maalum kama kumbukumbu. Je kwa maoni yako unadhani ni kitu gani hiki kilichopigwa picha? Toa maoni yako mdau kuhusiana na picha hii.
No comments:
Post a Comment