
Wadau huyu samaki wa ajabu alionekana akiwa amekufa kule Malaysia baada ya tsunami. Mwangalie samaki huyu kwa makini utaona kuwa ana mbavu, mikono na kichwa kama binadamu. Je huyu ni samaki mtu(mermaid)?. Wadau toeni maoni yenu kuhusu kiumbe hiki cha ajabu.
No comments:
Post a Comment